
Jamii
hii ya Endevesi walikuwa wakipata Huduma hizi umbali wa km. Zaidi ya 5
Na kupelekea watoto wengi kuwa watoro. "Shule tumejengewa, serikali
tutahakikisha tunapanga walimu Na shule hii inaanza 2018. Wananchi
wakikishe wanaleta watoto shuleni. Nasi tutawachukulia hatua wote
watakaokuwa watoro." Aliwashukuru pia kwa kuunga mkono juhudi za Mh.
Rais wa Tanzania katika kuhimiza elimu. Miradi hiyo imegharimu zaidi ya
Tshs. 800M. 
Mkuu wa Wilaya ya Same, Mhe. Rosemary Senyamule akiongea mara baada ya kupokea majengo yaliyojengwa kwa ushirikiano wa masista wa Grail, Joy of faith na Korea Hope Foundation.
Mkuu wa Wilaya ya Same, Mhe. Rosemary Senyamule akipanda mti wa kumbukumbu.

Mkuu wa Wilaya ya Same, Mhe. Rosemary Senyamule akiongea mara baada ya kupokea majengo yaliyojengwa kwa ushirikiano wa masista wa Grail, Joy of faith na Korea Hope Foundation.

Mkuu wa Wilaya ya Same, Mhe. Rosemary Senyamule akipanda mti wa kumbukumbu.
Mkuu wa wilaya na kiongozi wa Korea Hope Foundation wakinawa mikono katima bomba ambalo ni moja ya mradi waliokabidhiwa. 

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...