Katika mechi hiyo, mgeni rasmi alikuwa ni Balozi wa Vijana Usalama Barabarani, James Mwakibinga ambapo akizungumza kabla ya mchezo huo, aliwasifia wachezaji wa Bongo Fleva na wa Kampuni ya Mawasiliano Airtel kwa kuungana pamoja na kucheza mchezo wao wa kirafiki.
“Nawapongeza wote mliofika na kushiriki mchezo huu, ni jambo la busara kwenu kuwa wamoja na kudumisha amani ya nchi yetu.
“Katika kuhakikisha tunaunga juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, katika kuendeleza umoja baina ya mtu mmojammoja na hata makampuni kama ilivyotokea leo kwa Airtel na Bongo Fleva,” alisema Mwakibinga.
Balozi wa Vijana Usalama Barabarani, James Mwakibinga ambapo akikagua timu ya Bongo Fleva kabla ya mpambano wao na wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano Airtel katika mchezo wao wa kilafiki uliomalizika kwa sare ya 0-0 katika uwanja wa Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam
Balozi wa Vijana Usalama Barabarani, James Mwakibinga ambapo akikagua timu ya Bongo Fleva kabla ya mpambano wao na wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano Airtel katika mchezo wao wa kilafiki uliomalizika kwa sare ya 0-0 katika uwanja wa Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam
Balozi wa Vijana Usalama Barabarani, James Mwakibinga ambapo akikagua timu ya Kampuni ya Mawasiliano Airtel katika mchezo wao wa kilafiki uliomalizika kwa sare ya 0-0 katika uwanja wa Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam
Balozi wa Vijana Usalama Barabarani, James Mwakibinga ambapo akikagua timu ya Kampuni ya Mawasiliano Airtel katika mchezo wao wa kilafiki uliomalizika kwa sare ya 0-0 katika uwanja wa Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam
Balozi wa Vijana Usalama Barabarani, James Mwakibinga akifuatilia mchezo huo katika uwanja wa Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...