Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB, Sabasaba Moshingi (wa pili
kushoto) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mwalimu Commercial Bank (MCB),Ronald
Manongi, wakibadilishana hati za makubaliano jijini Dar es Salaam leo ambapo
wateja wa benki ya upande mmoja wataweza kupata huduma za kibenki katika matawi
ya benki ya upande mwingine.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB, Sabasaba Moshingi ( kushoto
waliokaa) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mwalimu Commercial Bank (MCB),Ronald
Manongi, wakisaini hati za makubaliano jijini Dar es Salaam leo ambapo wateja
wa benki ya upande mmoja wataweza kupata huduma za kibenki katika matawi
ya benki ya upande mwingine.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB, Sabasaba Moshingi (kushoto)
akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ya utiaji saini makubaliano ya
ushirikiano kati ya TPB na Mwalimu Commercial Bank (MCB), ambapo wateja wa
benki ya upande mmoja wataweza kupata huduma za kibenki katika matawi ya benki ya upande mwingine. Kushoto kwake ni
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Mwalimu, Ronald Manongi .
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mwalimu Commercial Bank (MCB), Ronald Manongi (kulia), akizungumza na waandishi wa habari katika
hafla ya utiaji saini makubaliano ya ushirikiano kati ya MCB na Benki ya TBP ambapo
wateja wa benki ya upande mmoja wataweza kupata huduma za kibenki katika matawi
ya benki ya upande mwingine. Kushoto ni
Ofisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB, Sabasaba Moshingi (wa tano
kushoto) akishikana mikono na Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Mwalimu Commercial Bank (MCB),Ronald Manongi mara baada ya
kumalizika kwa tukio la utiaji saini makubaliano hayo. Pamoja nao ni baadhi ya
maofisa wa benki za TPB na MCB.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...