Blogger mashuhuri wa blog ya Jamvi la Habari ambaye pia ni mhadhiri wa Chuo Kikuu cha SAUT-Songea Willy Migodela tarehe 07/10/2017 alifunga ndoa na Lightness Ngenzi katika kanisa la KKKT Msharika wa Mbarali mkoani Mbeya. Globu ya Jamii inampa pongezi Will na shemela kwa kumeremeta.
Pichani Bwana Harusi Willy Migodela na Bibi Harusi Lightness Ngenzi |
Pichani Bwana Harusi na Bibi Harusi wakiwa na wasimamizi wao Mr & Mrs Pambano Myula |
Pichani Bwana na Bibi Harusi wakiwa katika picha ya pamoja na wapambe wao. |
Bwana na Bibi Harusi wakiwa katika tabasamu la kufurahia ndoa yao |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...