Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei (kulia) akisikiliza jambo kutoka kwa Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa, wakati alipotembelea ofisi za Shirika hilo, kuona shughuli mbalimbali zinavyofanywa ikiwa ni muendelezo wa wiki ya huduma kwa wateja, leo Oktoba 6, 2017. Shirika la Posta ni moja ya Mawakala wakubwa wa Benki ya CRDB wakishirikiana kwa zaidi ya miaka saba sasa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei (kulia) na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa, kwa pamoja wakikata keki kusherehekea wiki ya huduma kwa wateja.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei (kulia) akimkabidhi zawadi Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa, katika muendelezo wa wiki ya huduma kwa wateja.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei (kulia) na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watendaji kutoka pande zote mbili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...