Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Her Initiative,Lydia Charles akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kawe wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani kwa kutoa elimu ya afya ya Uzazi na kuwapima afya wanafunzi wa kike wa shule hiyo .
Mmoja watangazaji wa kipindi cha Mitindo cha Clouds Televisheni akiwa na mmoja wanafunzi wa shule ya Sekondari kawe wakati alipokuwa akitoa somo la afya ya uzazi kwa wanafunzi hao kupitia programu ya Her Initiative.
Mtangazaji wa kipindi cha Clouds E, Saida Khalifani(Shadey) akizungumza na wanfunzi wa kike wa shule ya sekondari ya Kawe juu ya hatua muhimu za kupitia kufikia ndoto zao wakati wa tasisi ya Her Initiative ilipokwenda shuleni hapo katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike Duniani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...