Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC,Ian Ferrao(katikati) akikabidhiwa na Afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Aggrey & Clifford,Rashid Tenga,Tuzo ya kimataifa ya dhahabu kutoka Spike Asia Festival of Creativity 2017 nchini Singapore iliyotokana na tangazo lililotengenezwa na kampuni hiyo kwa niaba ya Vodacom kuhusiana na kampeni ya kuuza sehemu ya hisa za kampuni hiyo kwa Umma,Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam,Anaeshuhudia kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia.
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia(kushoto)na Afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Aggrey & Clifford,Rashid Tenga,wakimshuhudia Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania PLC,Ian Ferrao,akiwaonyesha waandishi wa habari(hawapo pichani) Tuzo ya kimataifa ya dhahabu kutoka Spike Asia Festival of Creativity 2017 nchini Singapore iliyotokana na tangazo lililotengenezwa na kampuni ya Aggrey & Clifford kwa niaba ya kampuni hiyo kuhusiana na kampeni ya kuuza sehemu ya hisa za kampuni hiyo kwa Umma,Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia na Mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo,Ian Ferrao,wakimsikiliza kwa makini Afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Aggrey & Clifford,Rashid Tenga,alipokuwa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa hafla ya kukabidhi Tuzo ya kimataifa ya dhahabu kutoka Spike Asia Festival of Creativity 2017 nchini Singapore iliyotokana na tangazo lililotengenezwa na kampuni ya Aggrey & Clifford kwa niaba ya Vodacom kuhusiana na kampeni ya kuuza sehemu ya hisa za kampuni hiyo kwa Umma,Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...