Mkuu
wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, akisalimiana na waandishi wa habari
wa mkoa wa Mbeya, aliokutananao Ofisi ya Mkuu wa mkoa huo leo, IGP Sirro, yupo
mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya kuzungumza na maofisa na askari wa Jeshi hilo
na kuona changamoto zao na namna ya kuwasaidia. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi
nchini IGP Simon Sirro, akikagua gwaride maalumu aliloandaliwa kwa ajili yake
alipowasili mkoani Mbeya kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kuzungumza na
maofisa na askari wa Jeshi hilo na kuona changamoto zao na namna ya kuwasaidia.
Mkuu wa Jeshi la Polisi
nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na askari wa kikosi maalumu cha kupambana
na uhalifu wa kutumia silaha za moto cha mkoa wa Mbeya, akiwa kwenye ziara ya
kikazi yenye lengo la kuzungumza na maofisa na askari wa Jeshi hilo na kuona
changamoto zao na namna ya kuwasaidia
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, akisalimiana na waandishi wa habari wa mkoa wa Mbeya, aliokutananao Ofisi ya Mkuu wa mkoa huo leo, IGP Sirro, yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya kuzungumza na maofisa na askari wa Jeshi hilo na kuona changamoto zao na namna ya kuwasaidia. Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...