NI MIEZI MITATU TANGU ULIPOTANGULIA MBELE ZA HAKI MPENDWAWETU MZEE GALLUS CHOGIMEMBE NYAKUNGA HAPO TAREHE 12 JULY 2017 KIHESA IRINGA.

HATUTASAHAU UPENDO, UCHESHI, NA BUSARA ZAKO DAIMA, KIUKWELI PENGO LAKO HALIWEZI KUZIBIKA KAMWE.

UNAKUMBUKWA SANA NA MKE WAKO MPENDWA YASINTA KIBIKI, WATOTO WAKO, WAKWE NA WAKAMWANA WAKO, WAJUKUU, VITUKUU, KAKA, DADA NA SHEMEJI ZAKO, NDUGU, JAMAA, MAJIRANI NA MARAFIKI ZAKO.

TULIKUPENDA LAKINI MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI, PUMZIKA KWA AMANI.

MKESHA WA KUMALIZA MSIBA NI TAREHE 13/10/2017, MISA TAREHE 14/10/2017  SAA 12.30 ASUBUHI KANISA LA KIHESA IKIFUATIWA NA KUSIMIKA MSALABA KIJIJINI NDULI.

TUNAWASHUKURU WOTE KWA KUTUFARIJI KIPINDI HIKI KIGUMU, MUNGU AWABARIKI.


TUNAWAKARIBISHA KUUNGANA NASI KATIKA KUHITIMISHA MSIBA HUO NYUMBANI KWAKE KIHESA IRINGA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...