Marehemu Happyfania Komba enzi za uhai wake. Happyfania Komba alifariki dunia usiku wa kuamkia jana akiwa usingizini. Mazishi yake yatafanyika kesho Tunduru mkoani Ruvuma.
![]() |
Waombolezaji wakiaga mwili wa Happyfania Komba. |
Mwili wa marehemu ukiagwa.
Mtoto wa marehemu, Exavery Komba akisaidiwa na wenzake wakati akitoa heshima za mwisho kwa mama yake.
Shangazi yake marehemu Winfrida Komba akilia kwa uchungu wakati wa kumuaga mpendwa wake.
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com simu namba 0712727062)
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com simu namba 0712727062)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...