Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt. Bilinith Mahenge amefanya ziara ya kukutana wananchi wa wilaya ya Namtumbo kwa lengo la kutatua kero zinazowakabili katika wilaya hiyo. Hapa mkuu wa mkoa Dkt. Mahenge anakutana na maswali magumu kutoka kwa wananchi hao
Home
Unlabelled
RC RUVUMA: LAZIMA VIONGOZI WA WILAYA MTATUE MATATIZO YA MAENEO YENU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...