Mtaalamu wa dawa za Usingizi na ganzi wakati wa operesheni, Dk. David Chiunga, akimpima mapigo ya moyo mmoja wa wagonjwa waliofika kupata huduma za matibabu bure wakati wa hafla ya uzinduzi wa hospitali ya Marie Stopes iliyoboreshwa na kituo cha kupokea simu za wateja, Mwenge jijini Dar es salaam hivi karibuni. 
 Mtaalamu wa masuala ya afya katika Hospitali ya Marie Stopes, Neema Mgumba akimpima mapigo ya moyo mmoja wa wagonjwa waliofika kupata huduma za matibabu bure wakati wa hafla ya uzinduzi wa hospitali ya Marie Stopes iliyoboreshwa na kituo cha kupokea simu za wateja, Mwenge jijini Dar es salaam hivi karibuni.
Mtaalamu wa masuala ya afya katika Hospitali ya Marie Stopes, Joan Rwechungura akichukua sampuli ya damu kutoka kwa mmoja wa wagonjwa waliofika kupata huduma za matibabu bure wakati wa hafla ya uzinduzi wa hospitali ya Marie Stopes iliyoboreshwa na kituo cha kupokea simu za wateja, Mwenge jijini Dar es salaam hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...