Mkurugenzi wa Wilaya ya Ileje Haji Mnasi  akikagua  mradi mkubwa wa ujenzi wa tanki la maji wa ujazo wa lita laki Tano unaofanywa na m/s singilimo enterprises ltd ambapo utagharimu kiasi  Shilingi 557073162/= ambapo utakapokamilika januari mwakani utawezesha watu zaidi ya watu 20000 wa i Kata ya tumba na Isongole na maeneo jirani wilayani ileje kupata Maji Safi na Salama kwa uhakika zaidi.
 Mkurugenzi wa Wilaya ya Ileje Haji Mnasi akimsikiliza Mhandisi wa Mradi Mkubwa wa Maji unao hudumi kata ya Itumba na Isongole kwa zaidi ya lita 5000
 Mkurugenzi wa Wilaya ya Ileje Haji Mnasi  akikagua  mradi mkubwa wa ujenzi wa tanki la maji wa ujazo wa lita laki  tano unaofanywa na m/s singilimo enterprises ltd ambapo utagharimu kiasi  Shilingi 557073162/= ambapo utakapokamilika januari mwakani utawezesha watu zaidi ya watu 20000 wa i Kata ya tumba na Isongole na maeneo jirani wilayani ileje kupata Maji Safi na Salama kwa uhakika zaidi.
--

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...