Mkurugenzi
wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na waandishi wa
habari (hawapo pichani) kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam,
leo wakati akitangaza rasmi kuzindua Tamasha la 'Tulia Traditional
Dances Festival 2018' linalofanyika kila mwaka Wilayani Rungwe Mkoani
Mbeya, pamoja na kuwashukuru wadhamini waliofanikisha Tamasha
lililofanyika Mwezi Septemba mwaka huu Tukuyu. Katikati ni Kaimu
Mkurugenzi wa Utamaduni, Lilly Beleko, aliyemwakilisha Naibu Waziri wa
Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo (kulia) ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa
Air Tanzania, Ladislaus Matindi. Picha na Muhidin Sufiani
Home
MICHEZO
NAIBU SPIKA TULIA ACKSON AWASHUKURU WADAU, AZINDUA TAMASHA LA TULIA TRADITIONAL DANCES FESTIVAL 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...