Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti akizungumza na Waandishi wa habari mara baada Puma Energy Tanzania yatiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi TUICO
Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti Akitiliana Saini na Kiongozi wa TUICO, Jonathan Peres huku Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama akishuhudia.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama akizungumza wa wakati wa kushuhudia zoezi la utiaji saini Mkataba wa hiari kati ya Puma Energy Tanzania na Chama cha Wafanyakazi (TUICO).
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti Akitiliana Saini na Kiongozi wa TUICO, Jonathan Peres huku Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama akishuhudia.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama akizungumza wa wakati wa kushuhudia zoezi la utiaji saini Mkataba wa hiari kati ya Puma Energy Tanzania na Chama cha Wafanyakazi (TUICO).
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...