Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti  akizungumza na Waandishi wa habari mara baada Puma Energy Tanzania yatiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi TUICO
  Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti  Akitiliana Saini na Kiongozi wa TUICO, Jonathan Peres huku Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama akishuhudia.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama akizungumza wa wakati wa kushuhudia zoezi la utiaji saini Mkataba wa hiari kati ya Puma Energy Tanzania na Chama cha Wafanyakazi (TUICO).
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...