Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk. Joel Bendera akisalimiana na baadhi ya washiriki wa mkutano wa 10 wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) wa Mkoa huo, katika ufungizi wake uliofanyika mjini Babati wenye kauli mbiu ya uhakika wa mbegu kwa uhakika wa chakula
 Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk. Joel Bendera akizungumzia wakati akifungua mkutano wa 10 wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) wa Mkoa huo, uliofanyika mjini Babati wenye kauli mbiu ya uhakika wa mbegu kwa uhakika wa chakula
Baadhi ya Washiriki wa mkutano wa 10 wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) wa Mkoa wa Manyara wakimsikiliza Mgeni rasmi.
  Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk. Joel Bendera akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano wa 10 wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) wa Mkoa huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...