Mkuu wa mkoa wa Ruvuma DKT BILINITH MAHENGE amemwagiza meneja wa shirika la umeme wilaya ya namtumbo na mkoa wa Ruvuma kuhakikisha wanapeleka huduma ya umeme katika chuo cha mifugo na kilimo MAHINYA kilichopo katika wilaya ya hiyo. HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...