Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dokta Bilinith Mahenge amefanaya ziara ya kukutana wananchi wa wilaya ya namtumbo kwa lengo la kutatua kero zinazowakabili katika wilaya hiyo,na hapa mkuu wa mkoa Dokt Mahenge anakutana na maswali magumu kutoka kwa wananchi hao huku idara ya maji na kilimo yakipamba moto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...