Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh.Jordan Rugimbana akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa maafisa wa Kijeshi 32 kutoka Majeshi ya nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika ambao wapo hapa nchini kuhudhuria mafunzo ya Ukamanda na Unadhimu kwenye chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania kilichopo Duluti mkoani Arusha 
Baadhi ya Ujumbe wa maafisa wa Kijeshi 32 kutoka Majeshi ya nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika ambao wapo hapa nchini kuhudhuria mafunzo ya Ukamanda na Unadhimu kwenye chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania kilichopo Duluti mkoani Arusha .
Mmoja wa baadhi ya maafisa wa Kijeshi 32 kutoka Majeshi ya nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika ambao wapo hapa nchini kuhudhuria mafunzo ya Ukamanda na Unadhimu kwenye chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania kilichopo Duluti mkoani Arusha,akifafanua jambo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh.Rugimbana alipokutana nao na kufanya mazungumzo nao mapema leo.
 
Baadhi ya maafisa wa Kijeshi 32 kutoka Majeshi ya nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika ambao wapo hapa nchini kuhudhuria mafunzo ya Ukamanda na Unadhimu kwenye chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania kilichopo Duluti mkoani Arusha  wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh.Jordan Rugimbana alipokutana nao mapema leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...