-Kaimu mwenyekiti wa klabu ya Yanga Clement Sanga Leo  amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya ligi kwa kupata kura 10 huku mpinzani wake Hamad Yahaya akipata Kura 6.

 Hamadi ndio alikuwa mwenyekiti wa bodi ya ligi kwa kipindi cha miaka 4.

Wapiga kura ni klabu 16 zinazoshiriki  ligi kuu Tanzania Bara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...