Anayetajwa kuwa mmiliki wa shule ya Sekondari ya Scolastica iliyopo mji ndogo wa Himo Edward Shayo na wenzake wawili Hamid Chacha na Laban Nabiswa wakisindikizwa kuingia chumba cha mahakamani.
Anayetajwa kuwa mmiliki wa Shule ya Sekondari ya Scolastica Edward Shayo na wenzake wawili wakitoka nje ya chumba cha mahakamani Mara baada ya kusomewa shtaka la kuua kwa kukusudia .
Mmoja wa ndugu wa kijana Humphrey Shayo akilia kwa uchungu wakati akitoka katika chumba cha mahakama. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...