Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Filberto Hassan Sanga akizungumza na wakulima,wasafirishaji wa matunda katika warsha ya siku moja iliyoanadaliwa na Bakhresa Food Product –kitengo cha kuchata matunda leo Mkuranga Mkoa wa Pwani.
.Mkurugenzi wa Mahusiano wa Makampuni ya Bakhresa, Hussen Sufian Ally akizungumza na wakulima,wasafirishaji wa matunda kuhusu mbinu bora za uvunaji na usafirishaji wa matunda bila kupoteza ubora wake, leo Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Sehemu ya wakulima na wasafirishaji wa matunda wakifatilia mada mbalimbali katika warsha hiyo uliyo anadaliwa na Bakhresa Food Product –kitengo cha kuchata matunda leo Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Wakulima na wasafirishaji wa matunda wakitembele maeneo mbalimbali ya kiwanda hicho. Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya jamii.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...