Kufuatia kifo cha mama yetu mpenzi Hidaya bint Msemo ambae ni mama yake mzazi sheikh Ahmad Muhammad Suleiman (Mashaka) na ni mama yake mkuu Sheikh Ally bin Asili, tunawaomba ndugu zetu tujumuike pamoja kwa ajili ya kumuombea dua mama yetu Allah amfanyie wepesi ktk safari yake. Dua ambayo itajumuisha kina baba na kina mama, itafanyika siku ya Jumamosi sawa na tarehe 18/11/2017 saa kumi jioni kwenye ukumbi wa:
Muslim Resource Centre
Red lane, Coventry
CV6 5EE
United Kingdom
Shughuli itaanza baada ya swala ya maghribi ambayo inaswaliwa saa kumi na robo. Ni muhimu kufika kwa wakati.
Kwa mawasiliano na maelezo Zaidi wasiliana na
Sheikh Ali Asili, 07397565541
Sheikh Muhammad Hassan, 07438566797
Kufika kwako ndio mafanikio ya shughuli yetu.
Nyote mnakaribishwa.
والله ولي التوفيق
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...