Hadi wanaingia ukumbini kura zilikuwa:-
D.R.Congo: 8683
Cape Verde: 3248
Tanzania: 2268
Baada ya wawakilishi wa nchi 15 za Africa kushindanishwa haya ndio matokeo :-
Cameroon
Nigeria
Tanzania
Mwakilishi wa Tanzania Lylian Muttakyawa, ametoka na tuzo ya mshindi wa 3 na kubwa zaidi kawa Miss Congeniality.Tunashukuru mno mno, Watanzania kwa support yenu ya kura.
Tafadhali sambaza shukrani hizi.
Mungu awabariki.
D.R.Congo: 8683
Cape Verde: 3248
Tanzania: 2268
Baada ya wawakilishi wa nchi 15 za Africa kushindanishwa haya ndio matokeo :-
Cameroon
Nigeria
Tanzania
Mwakilishi wa Tanzania Lylian Muttakyawa, ametoka na tuzo ya mshindi wa 3 na kubwa zaidi kawa Miss Congeniality.Tunashukuru mno mno, Watanzania kwa support yenu ya kura.
Tafadhali sambaza shukrani hizi.
Mungu awabariki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...