Familia ya Mwinyi Ubaya inakumbuka kifo cha Barkhe M. Ubaya kilichotokea miaka minne iliyopita.
Unakumbukwa na Mumeo Ndg. Mwinyi Ubaya, watoto wako Salama na Rahma, Dada yako, Kaka yako, Mama yako, wifi zako, familia ya Magoha na Ubaya kwa ujumla pamoja na Ndugu, marafiki na jamaa.
Tunazidi kukuombea kwa Allah azidi kukupa kauli thabiti na makazi mema Akhera.
INNA LILLAH WAINNA LILLAH RAJIUN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...