Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Selemani S. Jafo (Mb) akizungumza wakati wa uzinduzi wa Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa mkoani Dodoma katika Ukumbi wa Hazina Ndogo.
Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Selemani S. Jafo (Mb) akimkabidhi nyaraka kuhusu maadili mwakilishi wa Katibu Mkuu-UTUMISHI Bi. Janeth Mishinga wakati wa uzinduzi wa Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa nchini.
Sehemu ya washiriki waliohudhuria ufunguzi wa Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa mkoani Dodoma katika Ukumbi wa Hazina Ndogo wakimsikiliza mgeni rasmi, Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Selemani S. Jafo (Mb)
Baadhi ya wanafunzi waliowawakilisha wenzao wakati wa Klabu za Maadili wakati wa wa Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa mkoani Dodoma katika Ukumbi wa Hazina Ndogo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...