Ndugu Wanajumuiya,
Kwa masikitiko makubwa Dr. Lindah Mhando wa State College, PA anatangaza kifo cha mdogo wake HAPPY OKOTH kilichotokea Dallas, TX. October 27, 2017.
Marehemu ameacha :
Mama yake Mrs Elizabeth Okoth
Mume wake: Pastor Steven Momoh
Watoto watatu: Gideon, Desire Na Delight.
Kaka: Mike Wilfred
Dada: Dr. Lindah Mhando
Mdogo: Lilian Wilfred
Mipango y'a mazishi ina endelea kufanyika. Na marehemu anatarijiwa kuzikwa Dallas Texas
Tarehe: 10 ( wake keeping) 11 mazishi na tarehe 12. Ibada ya shukran
Taarifa zaidi zitafuata baadaye.
Tafadhali wasiliana na:
Pastor Steven Momoh 214 830 8459 (husband)
Prof. Peter Mhando 8144043781
Jessica Kataraiya 2147736697
Pastor Absalom 2145547381
Ben Kazora 12698730937
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...