Ndugu Wanajumuiya, 

Kwa masikitiko makubwa Dr. Lindah Mhando wa State College, PA anatangaza kifo cha mdogo wake HAPPY OKOTH kilichotokea Dallas, TX. October 27, 2017.
Marehemu ameacha :
Mama yake Mrs Elizabeth Okoth
Mume wake: Pastor Steven Momoh
Watoto watatu: Gideon, Desire Na Delight. 
Kaka: Mike Wilfred
Dada: Dr. Lindah Mhando 
Mdogo: Lilian Wilfred

Mipango y'a mazishi ina endelea kufanyika. Na marehemu anatarijiwa kuzikwa Dallas Texas 
Tarehe: 10 ( wake keeping) 11 mazishi na tarehe 12. Ibada ya shukran 
Taarifa zaidi zitafuata baadaye.
Tafadhali wasiliana na:

Pastor Steven Momoh 214 830 8459 (husband)
Prof. Peter Mhando 8144043781
Jessica Kataraiya 2147736697
Pastor Absalom 2145547381
Ben Kazora 12698730937

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...