Daraja linalounganisha Ulongoni na Gongo la Mboto, Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam linaweza kukatika wakati wowote kama linqvyoonekana mapema leo,kufuatia mvua zilizonyesha na kuhamisha tuta la upande mmoja na kusababisha magari kushindwa kupita.Picha na Nyakasagani Masenza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...