Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji, Charles Mwijage akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Jengo la usambazaji wa Vifaa vya ujenzi na Saruji linalojengwa na umoja wa Wafanyabiashara wa Kichina Barani Afrika CNBM kwa thamani ya Dola za kimarekani Bilioni 56  Katika Mtaa wa Buguruni Mivinjeni Jijini Dar es Salaam

 Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji, Charles Mwijage akiongoza zoezi la uwekaji wa mchanga katika sherehe za uwekaji wa jiwe la Msingi katika Uzinduzi wa ujenzi wa eneo la Uuzaji wa Vifaa vya Ujenzi katika kutoka kwa umoja wa Wafnyabiashara wa kichina Afrika CNBM
 Balozi wa Serikali ya China ya China nchini Tanzania , Ke Wang akihutubia  wakati wa uwekaji wa jiwe la Msingi kwa jengo la uuuzaji wa bidhaa za ujenzi kutoka kwa umoja wa Wafanyabiashara wa kichina nchini CNBM
 Mwenyekiti wa bodi ya Umoja wa Wafanyabiashara wa kichina , CNBM GROUP COLTD, Dr Zhiping Song  akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kuweka jiwe la Msingi
 Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote ,Hemendra Raithatha  akitoa salam za Kiwanda chake juu ya jengo hilo la usamabazji wa Vifaa vya Ujenzi .

 Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji, Charles Mwijage akisaini katika ubao wa wageni .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...