Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei (katikati) akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake jijini Dar es salaam leo, kuhusu Benki hiyo kuanza mchakato wa kumtafuta mrithi wa nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, unaotaraji kuanza mapema mwakani. Huku akiwatoa hofu wateja na wananchi kiujumla kuwa Benki ipo salama. Dkt. Kimei atandelea kuhodhi nafasi hiyo mpaka Mei 2019 atakapostaafu. Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Ester Mwambapa na kushoto ni Mkurugenzi wa Mikopo wa Benki ya CRDB, James Mabula.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Ester Mwambapa akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari kuhusu Benki hiyo kuanza mchakato wa kumtafuta mrithi wa nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB.
Baadhi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei wakati atoa taarifa ya kuanza mchakato wa kumtafuta mrithi wa nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, unaotaraji kuanza mapema mwakani.
Sehemu ya wanahabari pamoja na wageni wengine.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...