Mafundi wakiendelea na Maboresho ya Reli ya kutoka Korogwe, Mombo, Moshi mpaka Arusha katika eneo la Stesheni ya Mombo ikiwa ni kazi ya awali ya kumalizia maeneo yaliyokuwa wazi kutokana na mataluma ya reli hiyo na viungashio kupotea baada ya kung'olewa na watu wasiojulikana.
 Kazi ikiendelea kwa umoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...