Kaimu Katibu Mkuu wa Idara Kuu ya Maendeleo ya jamii, Jinsia Wazee na Watoto Bw. Maercel Katemba akifungua Mafunzo ya Mfumo wa Udhibiti wa Viashiria Hatarishi Mahala pa Kazi kwa watumishi wa Idara Kuu Maendeleo ya Jamii yanayofanyika katika katika Ukumbi wa VETA mkoani Dodoma, tarehe 4 Desemba, 2017.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani Bibi Mchome akitoa neno la utangulizi kwa washiriki wa Mafunzo ya Mfumo wa Udhibiti wa Viashiria Hatarishi Mahala pa kazi yanayoendelea ukumbi wa VETA mkoani Dodoma.
Mwezeshaji wa Mafunzo ya Mfumo wa Udhibiti wa Viashiria Hatarishi Bw. Dickson Rusage akielezea mwitikio chanya uliooneshwa na Wizara/ Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika kutekeleza Mfumo huo miongoni mwa Wizara zilizoanza utekelezaji wake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...