Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiwasili kwa ajili ya kushiriki harambee ya kuchangia ukarabati wa nyumba za askari wa Jeshi hilo, ambapo harambee hiyo iliwashirikisha wadau mbalimbali wa maendeleo wakiwemo wanasiasa na wafanyabiashara mbalimbali wa mkoa wa Morogoro.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, akisalimiana na maofisa wa Jeshi hilo alipowasili mkoani Morogoro, kwa ajili ya kushiriki harambee ya kuchangia ukarabati wa nyumba za askari wa Jeshi hilo, ambapo harambee hiyo iliwashirikisha wadau mbalimbali wa maendeleo wakiwemo wanasiasa na wafanyabiashara mbalimbali wa mkoa wa Morogoro.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dkt. Kebwe stephen Kebwe (wa pili Kulia), akifuatiwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, wakimsikiliza kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Ulrich Matei (aliyesimama), akitoa neno wakati wa harambee ya kuchangia ukarabati wa nyumba za askari wa Jeshi hilo mkoani humo, harambee ambayo iliwashirikisha wadau mbalimbali wa maendeleo wakiwemo wanasiasa na wafanyabiashara mbalimbali wa mkoa wa Morogoro
Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dkt. Kebwe stephen Kebwe (aliyesimama), akitoa neno mbele ya wanasiasa na wafanyabiashara mbalimbali pamoja na wadau wa maendeleo (hawapo pichani) wakati wa harambee ya kuchangia ukarabati wa nyumba za askari wa Jeshi hilo mkoani humo ilikutoa makazi salama kwa askari. Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...