Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) akikagua maandalizi ya JWTZ Kikosi cha 673 katika harakati za maandalizi ya kuamia mkoani Dodoma na alietangulia mwenye nguo nyeusi CEO Meltus Franci akimuonyesha IGP maeneo mbali mbali ya kikosi hicho. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro kushoto akiwa na mwenyeji wake CEO Meltus Franci, akikagua ujenzi wa gharama nafuu katika Kikosi 673 ili kuupata ujuzi huo kutoka JWTZ na Jeshi la Polisi watumie ili kupunguza gharama za Nyumba za Askari mkoani Dodoma katika harakati za kuamia mkoani humo. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro kushoto akiwa na mwenyeji wake CEO Meltus Franci, akikagua ujenzi wa gharama nafuu katika Kikosi 673 ili kuupata ujuzi huo kutoka JWTZ na Jeshi la Polisi watumie ili kupunguza gharama za Nyumba za Askari mkoani Dodoma katika harakati za kuamia mkoani humo. Picha na Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...