Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias
Mwilapwa akipanga tofali kwenye msingi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya
madarasa katika shule ya msingi ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi
(Albino) na wasioona ya Pongwe Jijini Tanga ambapo Kampuni ya Simba
Cement imetoa mifuko 760 kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa vyumba
hivyo
Mkurugenzi Kiwanda cha Saruji cha Simba
Cement cha Tanga
(TTCL), Reinhardt Swart kulia akijenga tofati katika vyumba vipya
vitatu vya madarasa kwenye shule ya Msingi ya
ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na wasioona ya Pongwe Jijini Tanga ambapo Kampuni ya Simba Cement imetoa mifuko 760 kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa vyumba hivyo kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa
ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na wasioona ya Pongwe Jijini Tanga ambapo Kampuni ya Simba Cement imetoa mifuko 760 kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa vyumba hivyo kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa
Mkurugenzi Kiwanda cha Saruji cha Simba
Cement cha Tanga
(TTCL), Reinhardt Swart kulia akiweka tofati katika vyumba vipya
vitatu vya madarasa kwenye shule ya Msingi ya
ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na wasioona ya Pongwe Jijini Tanga ambapo Kampuni ya Simba Cement imetoa mifuko 760 kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa vyumba hivyo kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa.
ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na wasioona ya Pongwe Jijini Tanga ambapo Kampuni ya Simba Cement imetoa mifuko 760 kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa vyumba hivyo kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa.
Mkurugenzi
Kiwanda cha Saruji cha Simba
Cement cha Tanga
(TTCL), Reinhardt Swart kulia akiweka sawa tofati katika msingi wa moja
ya vyumba vipya vitatu vya madarasa kwenye shule ya Msingi ya
ya
wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na wasioona ya Pongwe
Jijini Tanga ambapo
Kampuni ya Simba Cement imetoa mifuko 760 kwa ajili ya kuchangia ujenzi
wa vyumba hivyo.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...