Wachezaji wa Timu ya Bunge la Tanzania katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa mechi yao na Timu ya Uganda Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam Jioni ya leo.
Mchezaji wa Timu ya Bunge la Tanzania, Prof. Norman Sigalla akimtoka ,Mchezaji wa Timu ya Bunge la Uganda wakati wa mechi yao iliyochezwa Jioni Leo Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya Mashindano ya Mabunge ya Afrika Mashariki yanaoendelea Jijini Dar es Salaam ambapo Uganda waliibuka kwa ushindi wa Magoli 2-1.
Mchezaji wa Timu ya Bunge la Tanzania Ridhiwan Kikwete (kushoto) akijiandaa kuwatoka Mabeki wa Timu ya Bunge la Uganda wakati wa mechi yao iliyochezwa Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam Jioni Leo ikiwa ni sehemu ya Mashindano ya Mabunge ya Afrika Mashariki yanaoendelea Jijini Dar es Salaam ambapo Uganda waliibuka kwa ushindi wa Magoli 2-1.
Mchezaji wa Timu ya Bunge la Tanzania Omary Mgumba (katikati) akijiandaa kupiga Mpira mbele ya wachezaji wa Timu ya Bunge la Uganda wakati wa mechi yao iliyochezwa Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam Jioni Leo ikiwa ni sehemu ya Mashindano ya Mabunge ya Afrika Mashariki yanaoendelea Jijini Dar es Salaam ambapo Uganda waliibuka kwa ushindi wa Magoli 2-1.
Mchezaji wa Timu ya Bunge la Tanzania Ally King (katikati) akimiliki Mpira mbele ya Wachezaji wa Timu ya Bunge la Uganda wakati wa mechi yao iliyochezwa Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam Jioni Leo ikiwa ni sehemu ya Mashindano ya Mabunge ya Afrika Mashariki yanaoendelea Jijini Dar es Salaam ambapo Uganda waliibuka kwa ushindi wa Magoli 2-1.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...