Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ,  Wangambo  akipata maelezo kutoka  kwa Meneja wa Mapazia na Mashine Dinious Swai  juu ya bidhaa za ngozi zinazozalishwa na kampuni  ya Woiso katika maonesho ya viwanda katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Filberto Sanga akipata maelezo kutoka kwa Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Petro Limu juu ya mashine ya kulimia yenye gharama nafuu wakati alipotembelea banda la chuo kikuu cha Dar es Salaam katika maonesho ya viwanda katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, Mshamu Munde akizungumza na mwalimu wa  Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mathias Halinga  baada ya kupata maelezo mbalimbali  juu ushiriki maonesho ya viwanda yanayofanyika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Filberto Sanga akizungumza katika Banda la Mamlaka ya Elimu na Ufundi, Stadi  (VETA)  wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya viwanda  yanayofanyika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
 Afisa Habari na Elimu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Sigifrid Mfey  akizungumza  na mwananchi juu ya madhara ya vipodozi bandia wakati mwananchi huo alipotembelea banda la TFDA katika maonesho ya viwanda  yanayofanyika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam. 
Meneja wa Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Pendo Gondwe   akizungumza  na mwananchi juu ya ya uwekezaji unaavyotakiwa kufuata taratibuyoa wakati mwananchi huyo alipotembelea banda TIC katika maonesho ya viwanda  yanayofanyika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...