Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe Juliana Shonza (katikati) akimaliza mbio za kilomita tano wakati wa kufunga Tamasha la Michezo Karatu lililofanyika mjini Karatu leo tarehe 23/12/2012
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Juliana Shonza (katikatika) akishiriki mbio za kilomita tano wakati wakufunga Tamasha la Michezo Karatu lililofanyika mjini Karatu leo tarehe 23/12/2017, kutoka kulia wakwanza ni Mkuu wa Wilaya ya Karatu Bi Teresia Mahongo,Afisa utamaduni na michezo wiliya ya Karatu Ndg Laurent P. manonha na wakwanza kushoto kulia kwake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Karatu Ndg. Waziri Mourice

Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe Juliana Shonza akipiga risasi juu kuashiria kuanza kwa mbia za kilomita kumi wakati wakufunga Tamasha la Michezo Karatu lililofanyika leo tarehe 23/12/2017 mjini Karatu,kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Karatu Bi Teresia Mahongo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...