Naibu Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Mhe,Mohammed Abdalla Salum katikati akikata Utepe kuashiria Ufunguzi wa Ofisi mpya ya Shirika la Ndege la ATCL Kijangwani Posta mjini Unguja.kushoto yake ni Naibu Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe,Chumu Kombo Khamis na Kulia ni -Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege la ACTL Ar Tanzania Eng Emanuel Koroso.
Katibu Mtendaji Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dk,Lila Vuai Lila kushoto na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la ATCL, Albinus Manumbu wakitiliana saini mkataba wa utumiaji wa ndege kwa watalii watakaofika Zanzibar katika Ufunguzi wa Ofisi yao Mpya Kijangwani Posta mjini Unguja.
Katibu Mtendaji Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dk,Lila Vuai Lila kushoto na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la ATCL, Albinus Manumbu wakibadilishana hati ya mkataba wa utumiaji wa ndege kwa watalii watakaofika Zanzibar katika Ufunguzi wa Ofisi yao Mpya Kijangwani Posta mjini Unguja.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege la ATCL,  Eng Emanuel Koroso akitoa hotuba ya makaribisho kwa Mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa Ofisi yao Mpya Kijangwani Posta mjini Unguja.
Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe,Mohammed Abdalla Salum akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Ofisi Mpya ya Shirika la Ndege la ATCL, Kijangwani Posta mjini Unguja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...