Mratibu wa Elimu Kata ya Kigamboni Bibi. Angelina Ngasaswa akizungumza na wanafunzi wa Elimu ya Watu Wazima na Watu wenye uhitaji maalu wanaofundishwa chini ya uratibu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Suluhusho la Watu Wenye Mahitaji Maalum (SNS) wakati wa hafla ya kufunga shule hiyo mapema hivi karibuni.
Mwenyekiti wa Shirika la Suluhusho la Watu Wenye Mahitaji Maalum (SNS) akizungumza na wanafunzi wa Elimu ya Watu Wazima na Watu wenye uhitaji maalum wanaofundishwa chini ya uratibu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Suluhusho la Watu Wenye Mahitaji Maalum (SNS) wakati wa hafla ya kufunga shule hiyo mapema hivi karibuni. Special Need Salution (SNS) ni shirika lisilo la Kiserikali limeanzisha darasa maalum kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalum ili kuwakwamua kielimu, kiuchumi na kimaendeleo huko kauli mbiu yake ikiwa ni “Stawisha watu wenye mahitaji maalum.”
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Tua Moyo Bw. Abdul Habibu akisisitiza jambo mbele ya wanafunzi wa Elimu ya Watu Wazima na wenye uhitaji maalum wanaofundishwa chini ya uratibu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Suluhusho la Watu Wenye Mahitaji Maalum (SNS) wakati wa hafla ya kufunga shule hiyo mapema hivi karibuni. Special Need Salution (SNS) ni shirika lisilo la Kiserikali limeanzisha darasa maalum kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalum ili kuwakwamua kielimu, kiuchumi na kimaendeleo huko kauli mbiu yake ikiwa ni “Stawisha watu wenye mahitaji maalum.”
Katibu Mkuu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Suluhusho la Watu Wenye Mahitaji Maalum (SNS) Mwl. Sarapendo Urio akionyesha baadhi ya kazi za Wanafunzi wa Elimu ya Watu Wazima na Wenye Uhitaji Maalum wakati wa hafla fupi ya kufunga masomo mapema hivi karibuni. Special Need Salution (SNS) ni shirika lisilo la Kiserikali limeanzisha darasa maalum kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalum ili kuwakwamua kielimu, kiuchumi na kimaendeleo huko kauli mbiu yake ikiwa ni “Stawisha watu wenye mahitaji maalum.”
Baadhi ya wanafunzi wa Elimu ya Watu Wazima na wenye uhitaji maalum wanaofundishwa chini ya uratibu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Suluhusho la Watu Wenye Mahitaji Maalum (SNS) wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi mara baada ya kufunga shule hiyo mapema hivi karibuni. Special Need Salution (SNS) ni shirika lisilo la Kiserikali limeanzisha darasa maalum kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalum ili kuwakwamua kielimu, kiuchumi na kimaendeleo huko kauli mbiu yake ikiwa ni “Stawisha watu wenye mahitaji maalum.”
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...