Ni miaka 12 sasa tangu uage Dunia mpendwa wetu Chipembele Said Chipembele, tunaona ni Kama Jana!
Mwenyeezi Mungu aendelee kuipumzisha Roho yako mahala Pema Peponi.
AMIN
Chipembele Said Chipembele enzi za uhai wake ambapo alikuwa mmoja wa wapiga drum mahiri nchini na nchi za nje kwenye bendi mbalimbali za muziki
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...