Ni miaka 12 sasa tangu uage Dunia mpendwa wetu Chipembele Said Chipembele, tunaona ni Kama Jana!
Mwenyeezi Mungu aendelee kuipumzisha Roho yako mahala Pema Peponi.
AMIN
 Chipembele Said Chipembele enzi za uhai wake ambapo alikuwa mmoja wa wapiga drum mahiri nchini na nchi za nje kwenye bendi mbalimbali za muziki

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...