Wakazi wa Tabata Chang'ombe wakiwa wanashangaa bomba la maji lililopasuka kutokana na ukarabati unaoendelea katika barabara hizo ambazo zinajengwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini(Tarura), ukarabati wa barabara hizo utasaidi kuwaunganisha wakazi wa Tabata Chang'ombe na Kisukulu bila kuzunguka njia ya Bima.
Sehemu ya Barabara ya inayokarabatiwa na Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini(Tarura) eneo la Tabatra Chang'ombe .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...