Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Ackson akisoma dua ya kuliombea Bunge katika kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde akijibu maswali mbalimbali ya wabunge wakati wa katika kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Mbunge wa Namtumbo, Eng.Edwin Ngonyani akiuliza swali wakati wa kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi,  Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt.Suzan  Kolimba na Naibu Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe.Angeline Mabula  wakati wa kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma. Picha na Daudi Manongi,MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...