TANZIA
Familia ya Bwana Paul Beda Moshi inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Paul Beda Moshi Mkurugenzi wa Nuru Funeral Services, kilichotokea siku ya Jumatano tarehe 3/1/2018.
Ibada ya kuuga mwili wa marehemu itafanyika siku ya Jumapili tarehe 7/1/2018 nyumbani kwake Kawe Mlalakuwa karibu na viwanja vya Lugalo Golf Club jijini Dar es Salaam, mazishi yatafanyija siku ya jumatatu ya tarehe 8/1/2018 nyumbani kwake Rombo Tarakea Mbomai.
Bwana ametoa Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe.
Kwa mawasiliano zaidi na jinsi ya kufika piga +255714270410 na +255713775238
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...