TANZIA
Familia ya Bwana Paul Beda Moshi inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Paul Beda Moshi Mkurugenzi wa Nuru Funeral Services, kilichotokea siku ya Jumatano tarehe 3/1/2018.

Ibada ya kuuga mwili wa marehemu itafanyika siku ya Jumapili tarehe 7/1/2018 nyumbani kwake Kawe Mlalakuwa karibu na viwanja vya Lugalo Golf Club jijini Dar es Salaam, mazishi yatafanyija siku ya jumatatu ya tarehe 8/1/2018 nyumbani kwake Rombo Tarakea Mbomai.

Bwana ametoa Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe.

Kwa mawasiliano zaidi na jinsi ya kufika piga +255714270410 na +255713775238

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...