Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabasi Mwakalukwa akiagana na meneja wa ushirikiano wa BBC Media Action, Agnes Kayuni mara baada ya kumaliza mazungumzo na watendaji wa BBC Media Action leo alipo watembelea ofisini kwao kwa lengo la kuimarisha ushirikiano. (Picha na Jeshi la Polisi)
Studio Meneja wa shirika la utangazaji la BBC, Peter Mfalila akimuonesha Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabasi Mwakalukwa namna studio ya BBC Dar es salaam inavyofanya kazi. (Picha na Jeshi la Polisi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...