“kwa mwaka 2017 matukio yaliyoniudhi zaidi ni tukio la kushambuliwa kwa askari polisi na wananchi maeneo kibiti na kushambuliwa kwa kiongozi mda wa mchana tena katikati ya mji wa serikali na watu kupotea sehemu kusiko julikana hivyo nawataka wananchi kuwa mbele ya matukio kwa kutoa taarifa na kama wizara sisi tupo vitani mda wote kuwasaka waharifu na kuzia uharifu kwa mwaka 2018” Waziri Mwigulu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...