Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya TICTS, Jared.H. Zerbe akiongea kwenye hafla ilioyandaliwa na kampuni hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Hyatt Regency mwishoni mwa wiki iliyopita kusheherekea rekodi ya ongezeko la shughuli kwa mwaka 2017 ambapo ni ongezeko la zaidi ya asilimia 300 ikilinganishwa na kiasi walichoshughulikia mwaka 2000.
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya TICTS, Jared.H. Zerbe akiongea na wageni pamoja na wadau kwenye hafla ilioyandaliwa na kampuni hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Hyatt Regency mwishoni mwa wiki iliyopita kusheherekea rekodi ya ongezeko la shughuli kwa mwaka 2017 ambapo ni ongezeko la zaidi ya asilimia 300 ikilinganishwa na kiasi walichoshughulikia mwaka 2000.
Wageni na wadau mbali mbali wakiwa kwenye hafla iliyoandaliwa na kampuni ya TICTS mwisho wa wiki iliyopita katika hotel ya Hyatt Regency ambapo TICTS walisheherekea rekodi ya ongezeko la shughuli kwa mwaka 2017 ambapo ni ongezeko la zaidi ya asilimia 300 ikilinganishwa na kiasi walichoshughulikia mwaka 2000.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...