Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala BoravMhe. George H. Mkuchika akimpongeza Sir Leodegar Chilla Tenga kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Michezo la Taifa (BAMITA), akichukua nafasi ya Dionis Malinzi aliyemaliza muda wake. Hapo walikuwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Jumamosi kushuhudia pambano la soka la Ubingwa wa Afrika baina ya Yanga na Sr. Louis ya Ushelisheli. Yanga walishinda kwa bao 1-0

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...