Balozi wa Castle Africa 5s, Ivo Mapunda, (kushoto) akizungumza na wachezaji (hawapo pichani) wakati wa Bonanza la Castle Africa 5s(5- aside) lililofanyika Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Bingwa katika mashindano hayo ataiwakilisha inchi ya Tanzania katika mashindano ya Afrika yanayotarajiwa kufanyika Zambia.
Balozi wa Castle Africa 5s, Ivo Mapunda, (wa pili kulia) akishangilia na baadhi ya wachezaji wa Makuti kutoka Kitinda mara baada ya kufuzu kuingia hatua ya robo fainali na kukabidhiwa zawadi ya kreti la Bia za Castle Lager wakati wa Bonanzala Castle Africa 5s lililofanyika Uwanja wa Bulyaga Temeke jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Bingwa katika mashindano hayo ataiwakilisha inchi ya Tanzania katika mashindano ya Afrika yanayotarajiwa kufanyika Zambia.
Balozi wa Castle Africa 5s, Ivo Mapunda, (kulia) wakiteta jambo na Mtangazaji wa Cloud’s, Shaffih Dauda walipotembelea Bonanza la Castle Africa 5s(5- aside) lililofanyika Uwanja wa Bulyaga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Bingwa katika mashindano hayo ataiwakilisha inchi ya Tanzania katika mashindano ya Afrika yanayotarajiwa kufanyka Zambia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...