Balaza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya NAMTUMBO mkoani RUVUMA, limefikia maamuzi ya kumkataa mkuu wa wilaya hiyo LUCKNESS AMLIMA na kumuomba rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli kufanya mabadiliko kwa kumuondoa ili kuharakisha shughuli mbali mbali za maendeleo katika wilaya hiyo ambazo zimekwama kutokana na migongano na migogoro ya mara kwa mara baina yake na viongozi mbalimbali wa kisiasa katika halmashauri hiyo wakiwemo madiwani na wananchi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...